Ta Ha 20:58 فلناتينك بسحر مثله فاجعل بيننا وبينك موعدا لا نخلفه نحن ولا انت مكانا سوى ٥٨
فَلَنَأۡتِيَنَّكَ
بِسِحۡرٖ
مِّثۡلِهِۦ
فَٱجۡعَلۡ
بَيۡنَنَا
وَبَيۡنَكَ
مَوۡعِدٗا
لَّا
نُخۡلِفُهُۥ
نَحۡنُ
وَلَآ
أَنتَ
مَكَانٗا
سُوٗى
٥٨
Basi sisi hakika tutakueletea uchawi kama huo. Basi weka miadi baina yetu na wewe, ambayo tusiivunje sisi wala wewe, mahali patapo kuwa sawa.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Basi tutakuletea uchawi mfano wa uchawi wako. Weka wakati maalumu kati yetu na wewe, ambao sisi tusiende kinyume nao na pia wewe usiende kinyume nao, katika mahali palipolingana palipo sawa kati yetu na wewe.»
«Basi tutakuletea uchawi mfano wa uchawi wako. Weka wakati maalumu kati yetu na wewe, ambao sisi tusiende kinyume nao na pia wewe usiende kinyume nao,…